• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Urambo  District  Council
Urambo  District  Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya wilaya ya Urambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu msingi
      • Elimu sekondari
      • Idara ya Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Fedha
    • Kata
      • Kata Zetu
    • Kibali cha Safari
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kiutumishi
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
      • Mwaka 2020-2025
      • Mwaka 2015-2020
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Afya, Elimu na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati Nyinginezo
        • Kamati ya Ugawaji wa Viwanja
        • Kamati ya Ajira
        • Kamati ya ALAT Mkoa
        • Wajumbe wa Mamlaka ya Mji Mdogo
    • Ratiba ya Vikao
    • Taarifa mbalimbali
  • Miradi
    • Miradi Mipya Itayotekelezwa
    • Miradi inayaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Sheria
    • Taarifa
    • Taratibu
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Picha
    • Hotuba
    • Matukio
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video

Tusaidiane Kazi Viongozi Wenzagu Ngazi ya Kata: Mkuu wa Wilaya ya Urambo

Siku iliyowekwa: July 21st, 2023

Mhe. Kenani Kihongosi Mkuu wa Wilaya ya Urambo hii leo 21 Julai, 2023 katika ukumbi mkubwa wa mikutano wa Halmashauri amefanya  kikao kazi na Viongozi ngazi ya kata wakiwemo Watendaji wa Kata, Wenyeviti wa Vijiji, Watendaji wa Vijiji, Wakuu wa Shule na Walimu Wakuu kwa lengo la kufahamiana na kuwaomba kumpa ushirikiano kuhakikisha miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika taasisi za umma, ngazi ya kata na vijiji inasimamiwa kwa ubora ili iendane na  thamani ya fedha inayotolewa na Serikali.

Mhe. Kihongosi amewasihi Viongozi hao kufanya kazi kama timu, kwa ushirikiano na kuacha ujanjaujanja wa kutafuta liziki kupitia hela ya miradi inayoelekezwa katika maeneo yao. "Ndugu viongozi mmeaminiwa na Serikali, nimewaiteni hapa na kuwaeleza haya maana sitaki ugomvi na nyie, lakini tutagomba ikiwa hela ya mradi inayoletwa na Mhe. Dkt. Samia Suluh Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itatumika vinginevyo" Amesema Mhe. Kihongosi.

Mhe. Kihongosi amesisitiza swala la uzalendo kwa Viongozi hao hasa kujituma na  kufanya kazi kwa bidii bila kutanguliza maslahi ili wakawe mfano bora kwa watu wanaowaogoza na jamii kwa jumla na watambue  watakumbukwa kwa kizazi cha leo na cha kesho kupitia uimara wa miradi hiyo. Pia amewashauri Viongozi hao kutambua ya kuwa ofisi ya Mkuu wa Wilaya  iko wazi wakati wote kufika na kutoa taarifa mapema ikiwa watakutana na changamoto na hata kuomba ushauri vinginevyo akikutwa na dosari atawajibishwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za Serikali.

Aidha, Mhe. Kihongozi amewaomba viongozi hao kushawishi wazazi na walezi kuhakikisha wanachangia chakula ili wanafunzi ngazi ya awali, msingi na sekondari wapate chakula shuleni kwa lengo la kuongeza ufaulu na kupunguza utoro.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za vijana za kujiunga na JKT 2024/2025 October 02, 2024
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 01, 2025
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili September 21, 2024
  • Tangazo kuhusu urejeshwaji wa mikopo ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu October 02, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MHE. DKT. MKANACHI AZINDUA ZAHANATI YA KINHWA

    April 25, 2025
  • URAMBO YAADHIMISHA MUUNGANO KWA MATEMBEZI, USAFI NA KUPANDA MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO, YATEMBELEA KITUO CHA AFYA NA NYUMBA ZA WAKUU WA DIVISHENI

    April 25, 2025
  • URAMBO YAFANIKISHA KIKAO CHAKE CHA KWANZA KUPITIA E-BOARD

    April 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri wa maji, Prof. Makame Mbarawa
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya ofisi ya mkuu wa mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep DOCUMENTATION
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • BEMIS
  • Wahe. Madiwani

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa
  • Tovuti ya sekretarieti ya Ajira
  • Fomu ya Maadili ya Viongozi kwa Mtandao
  • Public Service
  • Matokeo ya Mtihani wa Taifa Tanzania.
  • Ikulu

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Bomani Urambo

    Anunani ya posta: Mkurugenzi Mtendaji (W), 30 Br ya Boma Stendi, S.L.P 170. 45582 Urambo Tabora

    Simu ya mezani: +255 (0) 262 965 824

    Simu ya mkononi: DED GRACE:0786821141

    Barua pepe: ded@urambodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2025 Urambo . All rights reserved.